https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    DR. SLAA AMEPEWA LIKIZO IKISHA ATAUNGANA NA CHADEMA - MBOWE

    7
    Mwenyekiti wa Chdema Taifa, Freeman Mbowe akihutubia  wajumbe wa Baraza Kuu katika ukumbi wa mikutano wa LAPF, Makumbusho jijini Dar mchana huu.
    1
    2
    3
    4
    5
    6Wajumbe wa Baraza Kuu wakifuatilia mkutano huo.
    Katika mkutano wa Baraza kuu la CHADEMA unaoendelea hivi sasa, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman MBOWE amesema hakuna ugomvi na Dk. SLAA, amepewa likizo na ikiisha ataungana nao baadaye ili shughuli za Chama ziendelee.
    Mbowe- Tumekubaliana Dr SLAA apumzike kwa muda na atakapokuwa tayari ataungana nasi mbele ya safari na nafasi yake ya ukatibu mkuu ndani ya chama iko pale pale
    Mbowe- Chama hiki hatukiendeshi kwa siri, tunakiendesha kwa mikakati.
    Mbowe- Tulilazimika kutumia kila mbinu halali ambayo inakiwezesha chama chetu kusaka matumaini na matarajio ya wananchi.
    Mbowe- Tuliridhika pasipo shaka kwamba ugeni wa Edward Lowassa katika chama chetu ni mpango wa Mungu.
    Mbowe- Umoja wetu ndio ushindi, fursa iliyojitokeza ni nadra.
    Mbowe- Mtikisiko huu umekuja kwa CCM kipindi ambacho Watanzania wanamatamanio ya mabadiliko
    Mbowe- Hatuwezi kuwa chama cha kuendelea kuhubiri mabaya ya jana tukashindwa kuhubiri maendeleo ya kesho
    Mbowe- Kipigo wanachopata CCM, hawajawahi kukipata tangu tuanze siasa za vyama vingi
    Mbowe- Kila tunayeweza kumpokea kutoka vyama vilivyo nje ya UKAWA tutamchukua
    Mbowe- Mungu ameamua kutumia chama chetu kujeruhi na kuangusha CCM.
    Mbowe- CHADEMA ni chama cha siasa, ni chama makini, chama makinI ni chama cha watu, chama kisichokuwa makini ni chama cha viongozi.

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: DR. SLAA AMEPEWA LIKIZO IKISHA ATAUNGANA NA CHADEMA - MBOWE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top