1. Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mpya wa Tanzania Nchini Zimbabwe, Luteni Jenerali Charles Lawrence Makakala na maafisa wengine wa JWTZ, mara baada ya kumuapisha kushika wadhifa huo Ikulu Jijini Dar es Salaam Ijumaa Agosti 21, 2015. Jenerali Makakala aliwahi kuwa Kamanda wa Chuo Cha Taifa cha Ulinzi, NDC-Kenduchi jijini Dar es Salaam
Rais akimuapisha Jdenerali Makakala
Rais akimkabidhi "nyenzo" za kazi Balozi Makakala
Rais katika picha na Balozi Makakala
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe, Luteni Jenerali Charles Lawrence Makakala (wa tatu kushoto) pamoja na familia yake mara baada ya baada ya kumuapisha Ijumaa Agosti 21, 2015 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Zimbabwe Luteni Jenerali Charles Makakala alipofika Ikulu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Balozi mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Zimbabwe Jenerali Makakala Ikulu mjini Zanzibar












0 comments:
Post a Comment