Ajali ya
roli imetokea Sinza Mori mida hii baada ya roli hilo kuchomoka tairi ya
nyuma lakini hakuna mtu aliyepata madhara katika ajari hiyo pamoja na
tairi kwenda mbali zaidi na eneo la tukio, hata hivyo dereva wa roli
hilo amesema alikuwa anaenda kubadilisha ekseli iliyochomoka.CHANZO
OTHMAN MICHUZI
Roli
lenye namba za usajili T 245 DEZ limechomoka taili ya nyuma maeneo la
Sinza Mori leo barabara ya Shekilango jijini Dar es Salaam..
Roli likiwa barabarani ya Shekilango barabara ya Shekilango jijini Dar es Salaam.






0 comments:
Post a Comment