https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    JAJI LUBUVA ASEMA MADAI YA MBOWE HAYANA UKWELI

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekanusha tuhuma kuwa baadhi ya wakurugenzi wa NEC wameachishwa kazi ghafla na kazi zao wamepewa watu ambao watakipendelea Chama cha Mapinduzi.

    Mwenyekiti wa Tume Jaji Lubuva amesema tuhuma zilizoibuliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe hazina ukweli wowote na zinapotosha Umma.
    Mbowe alisema kuwa maafisa wa Usalama wa Taifa wamepewa nafasi za uongozi ndani ya NEC
    Jaji Lubuva amesema kuwa kuna mabadiliko yalifanyika mwezi uliopita ambapo Rais Kikwete alimteua Julius Malaba kuwa Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi kwa lengo la kuimarisha utendaji wa Tume na sio vinginevyo.



    Jaji Lubuva ameomba baadhi ya viongozi wa kisiasa kuacha kuipotosha jamii
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: JAJI LUBUVA ASEMA MADAI YA MBOWE HAYANA UKWELI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top