Mchezo wa soka kuna time unaenjoy tu
yani matukio ya Uwanjani sio lazima mpaka litokee goli la penalty au
goli la kumchenga kipa na beki !!
Kipande cha Video kutoka Youtube,
kilipandishwa mtandaoni May 2015, unapewa dakika 6 tu za kuenjoy jinsi
ambavyo jamaa walijiachia mashuti ya nguvu toka katikati ya Uwanja alafu
beki, kipa na wachezaji wote wa Timu wanapitwa na mpira mpaka kitu
kinaingia golini !!


0 comments:
Post a Comment