
Mgombe Urais wa CHADEMA Mhe. Edward Lowassa akiwa na Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo Saed Kubenea. #JijiniDar

Msafara wa Mgombea Urais wa CHADEMA akiwa maeneo wa Ubungo akiendelea na kampeni.. Jijini Dar es Salaam.

Wakazi wa Mwembeyanga, Temeke waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe. Edward Lowassa.




Msafara wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Mhe. Edward Lowassa akiwa katika kampeni zake Mwembeyenga, Temeke

Mgombe Urais wa UKAWA, Mhe. Edward Lowassa akiwasili katika viwanja vya Mwembeyanga Temeke.


Makongoro Mahanga akimnadi Julius Mtatiro wa Jimbo la Segerea kupitia CUF na UKAWA.
Wakazi na wafanya biashara wa eneo na Ubungo wamemsimamisha Mgombea Urais wa CHADEMA, Mhe Edward Lowassa kuongea nae 





Wakazi wa Jimbo la Segerea waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais wa CHADEMA, Mhe. Edward Lowassa mapema leo mchana. 


Mh. Edward #Lowassa akiwasili viwanja vya TP Tandale #Mabadiliko2015
John John Mnyika na Muslim Hassanali wakibadilishana mawazo ndani ya viwanja vya TP Tandale #Mabadiliko2015
#KUTOKATANGANYIKAPACKERS: Wananchi wakimsubiri @Edwardlowassatz kwa ajili ya mkutano wa kampeni #Mabadiliko2015





Mgombea Ubunge Jimbo la Bumbuli, Ndg. David Chanyeghea akiwa ktk mkutano wake Kata ya Mahezangulu #UKAWA2015 
#KUTOKAMWEMBEYANGA: Tambwe Hiza akiongea na wananchi wa Mwembeyanga Dar leo, wako tayari


0 comments:
Post a Comment