https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    UTAFITI WABAINI UREFU UNACHANGIA KUMUWEKA MTU HATARINI KUPATA SARATANI

    Utafiti uliofanywa nchini Swedeni uliofanywa kwa watu milioni tano unaonekana kuunga mkono dhana kuwa urefu wa mtu unauhusiano na kuugua ugonjwa wa saratani.

    Utafiti huo umebaini kuwa mtu anavyozidi kuwa mrefu ndio anavyozidi kuwa katika hatari ya kuugua saratani ya matiti, saratani ya ngozi pamoja na aina nyingine za saratani.

    Matokeo ya utafiti huo unapendekeza kuwa kwa kila ongezeka kimo cha sentimita 10 juu ya urefu wa nchi 4, baada ya mtu kukua kunahatari ya kusababisha saratani kwa asilimia 18 kwa wanawake na asilimia 11 ya wanaume.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: UTAFITI WABAINI UREFU UNACHANGIA KUMUWEKA MTU HATARINI KUPATA SARATANI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top