https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Kombe la Dunia 1 AU Tuzo 5 za Ballon D’or – Messi kachagua hivi



    Tuzo za Ballon D’Or zinafanyika leo usiku huko Uswiss barani ulaya, Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Neymar Dos Santos ndio wanasoka wanaowania tuzo hiyo leo hii.
     
    Pamoja na ushindani uliopo lakini wadau wengi wanampa nafasi Lionel Messi kushinda tuzo ya tano ya Ballon D’Or leo usiku mbele ya wenzake Ronaldo na Neymar.
    Hata hivyo mchezaji ambaye ameshinda kila kikombe anachotakiwa kushinda katika level ya klabu lakini bado ana matamanio ya kufanikisha katika level ya kimataifa na timu yake ya Argentina.
     
    Messi leo amekaririwa akisisitiza kwamba tuzo za timu kwa umoja ni muhimu kwake kuliko tuzo binafsi na ndio maana kama angepewa nafasi ya kushinda Tuzo 5 za Ballon D’Or au kombe la Dunia na Argentina basi angechagua kushinda kombe la dunia: ‘Ningechagua Kombe la dunia mbele ya Ballon D’Or, World Cup ni tuzo kubwa zaidi kwa mchezaji yoyote.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Kombe la Dunia 1 AU Tuzo 5 za Ballon D’or – Messi kachagua hivi Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top