Uvaaji wa jeans hizo ambazo watengenezaji huzichanachana na kuonekana kama zilizochakaa, umekuwa kivutio kwa vijana wengi huku wakiacha sehemu zao za mwili zikiwa wazi.
Kijana akiwa amevaa jeans iliyochanika utadhani imeliwa na panya





0 comments:
Post a Comment