https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Jinsi Dubai ilivyobadilishwa kutoka Jangwa na kuwa sehemu ya kuvutia zaidi Duniani, Ndani ya Miaka 25! (+Pichaz)



    Dubai ni mji ambao kwa sasa watanzania wengi wanaenda kwa ajili ya kufanya biashara mbalimbali, Dubai  umekua kwa haraka zaidi kutokana na kuweka vizuri njia za ukusanyaji wa mapato na ni mfano ya mji ambao Uongozi wake unafanya kazi kwa kuwa baada ya miaka 25 macho ya Dunia nzima yamehamia Dubai.
    dubai in 1990
    Dubai 1990
    the samre street in 2003
    Mtaa uleule ambao picha yake iko juu hapo ulivyobadilika 2003

    the dubai waterfront
    Hii ni Dubai Waterfront, ikikamilika itakuwa ndio waterfront kubwa Duniani

    all of this in the last 5 years
    Yote hii ilijengwa katika miaka mitano iliyopita, ikiwa ni pamoja na kuwa kisiwa mwonekano wake ni kama mtende


    burj-al-arab-exterior
    Hoteli ya Burj al- Arab Dubai ndio hoteli ndefu Duniani na yenye hadhi ya nyota 7 na ina vivutio vingi ikiwa ni pamoja na uwanja wa Tennis ulio juu.

    hydropolis, the world's first underwater hotel
    Hii ndio Hoteli ya kwanza chini ya maji Duniani.

    the al burjs construction was started in 2005 and took 6 years to complete
    Ujenzi wa Al Burj ulianza mwaka 2005 na ilichukua miaka 6 kukamilika.

    dubai 2016
    Muonekano wa Dubai Mwaka 2016
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Jinsi Dubai ilivyobadilishwa kutoka Jangwa na kuwa sehemu ya kuvutia zaidi Duniani, Ndani ya Miaka 25! (+Pichaz) Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top