22/05/2016 MKUU WA
WILAYA ya Iringa Mh Richard Kasesela aliongoza kikosi cha wana nchi na
maafisa wa wanyama pori kumsaka Kiboko aliyevamia mazao ya wananchi na
kutishia maisha ya wananchi katika kijiji cha Magunga tarafa ya
Kiponzelo. Kiboko huyo alijificha kwenye eneo oevu amabapo wananchi wa
kijiji hicho waliogopa kutembea kufanya shughuli za kilimo. mnamo saa 10
na nusu jioni kiboko huyo alipataikana na kuuawa na baadae wananchi
kugawiwa nyama yake. Ilikuwa kazi ngumu kumtoa kwenye dimbwi alilo
angukia baada ya kuuawa kwa risasi. Kumekuwa na matukio ya wanyama wa
porini kuvuka mbuga na kuingia vijijini. wiki mbili zilizo pita simba
alionekana kijiji cha Idodi
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment