Wanafunzi 18 wenye umri wa kuanzia miaka mitano hadi 12 wamekufa moto baada ya bweni lao kuwaka moto nchini Thailand.
Wanafunzi hao wakike ni wa kwenye shule ya Pitakiatwittaya walikufa baada ya kukwama ndani ya bweni wakati moto huo ulipotokea.
Wanafunzi
wengine wawili hawajulikani walipo na wengine wameungua vibaya baada ya
moto huo kutokea jana majira ya saa tano usiku.
Miili ya wanafunzi waliokufa kwa moto ikiwa imehifadhiwa hospitali





0 comments:
Post a Comment