Katika zile stori zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii saa kadhaa zilizopita ni pamoja na hii ya mbunge wa Karagwe Innocent Bashungwa
aliyesimama bungeni Dodoma kuchangia bajeti ya wizara ya maliasili na
utalii, ishu kubwa ikawa ni kwanini Wanaume wengi jimboni kwake hawaoi
Wanawake wazuri?
‘Kuna
changamoto kwenye kata ya Bweranyange sisi tupo kwenye Wilaya iliyopo
mipakani, kuna kambi ndogo ya Jeshi. Wananchi wangu wananipigia simu
wanalalamika kwamba wanaogopa kuoa Wanawake wazuri kwasababu wanahofia
watanyang’anywa na Wanajeshi‘
Pia Bashungwa ameiomba serikali kuhakikisha inaimarisha ulinzi kwenye kata ya Bweranyangi ambako wanajeshi wengi hulinda mpaka wa nchi, ukihitaji kumtazama alivyoongea bonyeza play kwenye hii video hapa chini….


0 comments:
Post a Comment