
Mshambuliaji
wa Timu ya Yanga, Amis Tambwe akishangilia bao la kuongoza aliloipatia
timu yake dhidi ya Azam FC , katika mchezo unaopigwa hivi sasa kwenye
Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, ikiwa ni Fainali ya Mashindano ya
Kombe la Shirikisho (ASFA). hadi Timu ya Globu ya Jamii inaingia
mitamboni, Yanga wanaongoza kwa Bao 3-1. Picha na Othman Michuzi.

Kiungo
Mshambuliaji wa timu ya Azam FC, Ramadhan Singano "Messi" akiichambua
ngome ya Timu ya Yanga, katika mchezo unaopigwa hivi sasa kwenye Uwanja
wa Taifa jijini Dar es salaam, ikiwa ni Fainali ya Mashindano ya Kombe
la Shirikisho (ASFA). hadi Timu ya Globu ya Jamii inaingia mitamboni,
Yanga wanaongoza kwa Bao 3-1.
Mchezaji wa timu ya Yanga Oscar Joshua akimzuia mchezaji wa timu ya Azam FC Himid Mao kwenye mchezo wao wa Fainali ya Mashindano ya Kombe la Shirikisho (ASFA) unaochezwa jioni hii uwanja wa Taifa jijini Dar. hadi Timu ya Globu ya Jamii inaingia mitamboni, Yanga walikuwa wanaongoza Bao 3-1.
Lango la Azam FC likiwa hatarini kuvunjwa.
Mchezaji wa timu ya Yanga Oscar Joshua akimzuia mchezaji wa timu ya Azam FC Himid Mao kwenye mchezo wao wa Fainali ya Mashindano ya Kombe la Shirikisho (ASFA) unaochezwa jioni hii uwanja wa Taifa jijini Dar. hadi Timu ya Globu ya Jamii inaingia mitamboni, Yanga walikuwa wanaongoza Bao 3-1.
Lango la Azam FC likiwa hatarini kuvunjwa. 


0 comments:
Post a Comment