Kuangalia Messi akifunga hat trick sio jambo la ajabu tena machoni
mwetu, lakini kwa namna alivyofunga hat trick yake ya mwisho hivi
karibuni ameweka alama nyingine kwenye maisha yake ya soka.
Akitokea
benchi katika dakika ya 61 huku Argentina ikiwa inaongoza kwa goli
moja, nahodha huyo wa Argentina akafunga hat trick yake nyingine.
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment