MHE. NAPE AWASHAURI WASAMBAZAJI WA FILAMU NA MUZIKI NCHINI KUFUATA SHERIA
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza
na wawakilishi wa Umoja wa Wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini
katika kikao cha kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa
leo Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
Mbunge
Jimbo la Ilala(CCM) Mhe. Mussa Azzan Zungu akifafanua jambo katika
kikao kati ya Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye na wawakilishi wa Umoja wa Wasambazaji wa Filamu na Muziki
nchini kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo Agosti
10,2016 Jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi
wa Umoja wa Wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini Bw. Joseph Lyakurwa
akiwasilisha risala kwa niaba ya umoja huo kwa Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye(hayupo pichani) wakati
umoja huo ulipokutana na Waziri kujadili mustakabali wa usambazaji wa
kazi za Sanaa leo Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo akizungumza na
wawakilishi wa Umoja wa Wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini katika
kikao cha kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo
Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini wakifuatilia hotuba ya Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye wakati wa
kikao cha kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo
Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya wasambazaji wa Filamu na Muziki nchini wakifuatilia hotuba ya Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye wakati wa
kikao cha kujadili mustakabali wa usambazaji wa kazi za Sanaa leo
Agosti 10,2016 Jijini Dar es Salaam.Picha zote na Raymond mushumbusi
WHUSM)
0 comments:
Post a Comment