https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    BREAKING NEWS . TUKIO KATIKA PICHA : CLUB OLYMPIA YA SINZA MORI YATEKETEA KWA MOTO

     
    Hivi ndivyo Club Olympia ilivyoteketea kwa moto na kusababisha uharibifu wa Mari nyingi na zengine kuibiwa  

    Mmiliki wa Club Olympia Bwana Samwel Mwaisumbe akitoa maelezo juu ya Moto uliounguza Pub yake  kwamba inasemekana moto huo ulisababishwa na Hitilafu ya umeme na kuwa wao hawakuwa na taarifa wakati moto unaanza ni msamalia mwema tuu majira ya saa kumi na moja alfajiri ndiye alitoa taarifa kwa jeshi la Zima moto kuwa kuna moto unawaka eneo hilo, ameongeza kuwa mali nyingi zimeteketea kwa moto na zengine kuibiwa, alimalizia kuwa hakuna mtu aliyepata madhara kwa sababu wote hawakuwepo katika pub hiyo.
     Mmoja wa wakuu kutoka kikosi cha zima moto  J.K Mwasabeja akielezea juu ya tukio la moto huo, na kusisitiza taarifa kamili itakuja baadae mara baada ya uchunguzi kukamilika.
    Club Olympia kwa nje


    Kikosi  cha Askari wa zimamoto wakiwa bado wanaendelea na kazi yao
    Lango la Kuingilia Club Olympia
    Baadhi ya maeneo ambayo yameteketea

    Hili ni eneo ambalo limepona na Moto


    Eneo la ndani ya Club hiyo
    Eneo la Counter
    Eneo la Jikoni
    Eneo la watu ambapo watu walikuwa wakikaa

    Baadhi ya watu wakishuhudia

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BREAKING NEWS . TUKIO KATIKA PICHA : CLUB OLYMPIA YA SINZA MORI YATEKETEA KWA MOTO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top