https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    CHELSEA, MAN CITY KUWAKOSA NYOTA LEO

    article-2933624-2533531500000578-660_964x385
    CHELSEA leo wanaikaribisha Manchester City katika uwanja wa Stamford Bridge na timu hizi mbili zimekuwa na kiwango kizuri msimu huu.
    Mechi hii inayoanza saa 2:30 usiku inatarajia kuwa na msisimko mkubwa kutokana na ubora wa wachezaji wa timu zote.
    The Blues chini ya Jose Mourinho itamkosa Cesc Fabregas anayesumbuliwa na majeruhi pamoja na Diego Costa aliyefungiwa mechi tatu.
    Man City chini ya Manuel Pellegrini wanamkosa Yaya Toure ambaye anaitumikia Ivory Coast katika michuano ya kombe la mataifa ya Africa inayoendelea nchini Guinea ya Ikweta.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: CHELSEA, MAN CITY KUWAKOSA NYOTA LEO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top