https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    AFCON 2015: CAF Yaitoza Faini Guinea Ya Ikweta

    Shirikisho la soka barani Afrika CAF limeiadhibu nchi ya Guinea ya Ikweta baada ya mashabiki wake kufanya vurugu katika mchezo wa nusu fainali.

    Guinea ya Ikweta inatakiwa kulipa faini ya pauni 65,000 (US$100,000) kwa vurugu zilizofanywa na Mashabiki wake na kusababisha mchezo wa nusu fainali kati yao na Ghana kusimama kwa muda.
    Pia watatakiwa kuwahudumia mashabiki 36 waliopata majeruha katika vurugu hizo
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AFCON 2015: CAF Yaitoza Faini Guinea Ya Ikweta Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top