Leo katika
Hali isiyo ya kawaida wachungaji wavamia Eneo la Area D ambapo ni Makazi
ya viongozi mbali mbali wakimsaka Edward Lowassa. viongozi hao wa dini
walikuwa na shauku kubwa na nyuso za furaha wakiimba nyimbo za matumaini
Mapya na Edward lowassa.
Aidha misururu
hio imesababisaha Ndugu Samwel Sita kusubiri kwa Muda kupisha viongozi
hao kwenda kuiona nuru ya MATUMAINI. pia ilimuwia vigumu ndugu Fredric
Sumaye kuwahi appointments yake na Spika wa Bunge kupisha msafara
takatifu kwenda Jirani yake Edward Lowassa.
Mambo yanazidi kupamba moto kuelekea nuru ya matumaini kwa Watanzania ambao mara zote wamuonapo Edward Lowassa hupata faraja.
Wachungaji hao
wametabiri na kuahidi kunena kwa vitendo, na mpaka sasa bado
wanaendelea kujieleza ni nini wanacho muahidi bwana Edward Lowassa kama
balozi wamuaminiye katika safari ya MATUMAINI,
Endelea kufuatilia hapa hapa kwa habari kwa kina
picha kwa hisani ya JAMII FORUM


