https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    MATUKIO KUTOKA BUNGENI LEO

     Edward Lowassa, Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu akiwa na Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Ndani mwenye mafanikio makubwa.
     Mbunge ambaye tayari ameshatangaza nia yake ya kwenda Ikulu ya Magogoni, Mbunge wa Nzenga, Dk Hamisi Kingwangala akiwa Bungeni mjini Dodoma hii leo. Akiuliza Swali hii leo kwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira kuwa atamsaidiaje kunyanyua bei ya zao la pamba.
    Manaibu Waziri wakijadiliana jambo na Mbunge.
     Mbunge wa Arumeru Mashariki Goodluck Ole Medeye akiperuzi gazeti tando (blog) kupitia tablet yake akiwa Bungeni Mjini Dodoma. Upatikanaji wa habari na taarifa siku hizi umekuwa rahisi.
     Martha Mlata Mbunge wa Viti Maalum akiwa Bungeni
     Wabunge wakiendelea na shughuli zao Bungeni

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MATUKIO KUTOKA BUNGENI LEO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top