https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI

     Komredi Kinana akihutubia katika mkutano huo
     Komredi Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Kata ya Mbungu, alikozaliwa yeye.
    Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiagana na Mkuu wa Kwanza wa Majeshi mstaafu wa kwanza, Jenerali Sarakikya katika Kijiji cha , Nkoanekoi, Jimbo la Arumeru Mashariki baada ya kumaliza kuhutubia na kutatia kero mbalimbali za wananchi wa kijiji hicho kinachokabiliwa na tatizo la maji, barabara mbovu pamoja na umeme.
     Komredi Kinana akivishwa mgogole na wazee wa Kata ya Mbuguni
    Wazee wa Kata ya Mbuguni wakimvisha zawadi ya mgolole, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ikiwa ni heshima ya wazee hao wa Kata aliyozwa Komredi Kinana.



















     Komredi Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Kata ya Mbungu, alikozaliwa yeye.
     Komredi Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Kata ya Mbungu, alikozaliwa yeye.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top