https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Hashim Mbita aaga dunia

    https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjCO5vsCPYwtXzXTG90ebyeWQRiPEW_BqYhtspTHnr24hpmsGawBmzAygUyO2UL8sWJTHKDk0luBjS08__7zUZPbbi0aoWQzy4Fh7aDO7eHCUCv65a8PPb1RRmqWAYpiUYQqM2gTpk0WF4/s1600/D92A4694.jpg


    Aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) kuanzia mwaka 1974 hadi 1994 baada ya Afrika Kusini kupata uhuru, Brigedia Jenerali Hashim Mbita ameaga dunia jana jijini
    Dar es salaam Tanzania akiwa na umri wa miaka 74.
    Nchi za kiafrika hususani zile zilizopata uhuru kupitia katika mapambano ya kijeshi zitamkumbuka kwa namna alivyosaidia kuondoa utawala wa kikoloni katika eneo kubwa la bara la afrika.
    Kuhusu maisha ya Brigedia Jenerali Hashim Mbita Mwanahabari wetu Arnold Kayanda amezungumza na baadhi ya waliopata kuwa karibu na marehemu na ametutumia taarifa ifuatayo.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Hashim Mbita aaga dunia Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top