https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa


    square_with_sponsors (1)
    Majina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa rasmi Ijumaa hii. Hiyo ni baada ya siku kadhaa za kuhesabu mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na wananchi kwa kipindi cha wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo.

    Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 24.
    Kupiga kura tuma SMS Code kwenda 15678 au tembelea www.tuzozetu.com
    Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:
    TZW Nominees - 2105
    Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1         
    Dida – Times FM
    D’Jaro Arungu – TBC FM
    Diva – Clouds FM
    Mariam Kitosi – Times FM
    Millard Ayo – Clouds FM

    Kipindi cha redio kinachopendwa TZW2
    Ala     za Roho – Clouds FM
    Amplifaya – Clouds FM
    Hatua Tatu – Times FM
    Papaso – TBC FM
    XXL – Clouds FM
    Mtangazaji wa runinga anayependwa TZW3     
    Abdallah ‘Dullah’ Ambua – EATV  
    Salama Jabir – EATV/Maisha Magic
    Salim Kikeke – BBC Swahili
    Sam  Misago – EATV
    Zamaradi Mketema – Clouds TV
    Kipindi cha runinga kinachopendwa TZW4
    Friday Night Live – EATV
    In My Shoes – EATV
    Mkasi – EATV
    Planet Bongo – EATV
    Take  One – Clouds TV

    Blog/Website inayopendwa TZW5
    Muongozaji wa video anayependwa TZW6
    Abby Kazi
    Adam Juma
    Khalfan
    Hanscana
    Nisher
    Muongozaji wa filamu anayependwa TZW7
    Jacob ‘JB’  Stephen
    Leah Mwendamsoke
    Timothy  Conrad
    Vincent ‘Ray’  Kigosi
    William Mtitu
    Muigizaji wa kike wa filamu anayependwa TZW8
    Elizabeth ‘Lulu’  Michael
    Irene  Uwoya
    Jacqueline  Wolper
    Riyama  Ally
    Wema Sepetu
    Muigizaji wa kiume wa filamu anayependwa TZW9
    Hemedi  Suleiman
    Jacob   ‘JB’    Stephen Mzee
    King Majuto
    Salim ‘Gabo’ Ahmed
    Vincent  ‘Ray’ Kigosi
    Mwanamuziki wa kike anayependwa TZW10
    Lady  Jaydee
    Linah
    Mwasiti
    Shilole
    Vanessa  Mdee

    Mwanamuziki wa kiume anayependwa TZW11 
    Alikiba
    Barnaba
    Diamond  Platnumz
    Jux
    Ommy Dimpoz
    Filamu inayopendwa TZW12
    Chausiku
    Kigodoro
    Madam
    Mshale wa Kifo
    Sunshine
    Video ya muziki inayopendwa TZW13

    Akadumba –  Nay  wa        Mitego
    Kipi Sijasikia – Profesa Jay
    Nani kama Mama – Christian Bella f/ Ommy Dimpoz   
    Wahalade –  Barnaba
    XO – Joh  Makini
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top