Meneja Uhusiano wa
Kampuni ya Multichoice Tanzania Barbara Kambogi akizungumza na
waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa huduma mpya ya
DStv ya kukodisha filamu yaani Box Office iliyofanyika leo kwenye hotel
ya New Afrika jijini Dar, kushoto ni Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo.
Meneja
uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo akizungumza na
waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya kukodisha
filamu Box Office leo jijini Dar.
Meneja
uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo akitolea
ufafanuzi ni kwa jinsi gani unaweza kukodisha filamu kwa njia ya Box
Office na kuangalia filamu mpya baada ya kuzindua huduma hii leo jijini
Dar.
Baadhi ya waandishi wa habari waliofika kwenye uzinduzi huo

