Rais
Kikwete akimpokea Rais Filipe Jacinto Nyusi uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo. Rais huyo
anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko
katika ziara rasmi ya siku tatu.
Rais Filipe Jacinto Nyusi akipokea shada la maua baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
es salaam leo. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi
kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.
Rais
Filipe Jacinto Nyusi akikagua gwaride la heshima baada ya kuwasili
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam leo. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama
rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na mgteni wake Rais Filipe Jacinto Nyusi
wakiangalia ngoma baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa
wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo. Rais huyo anayefanya ziara
yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi
ya siku tatu.
Rais
Filipe Jacinto Nyusi akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Ikulu
jijini Dar es salaam katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kwanza nje
ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu..jpg)
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Filipe Jacinto Nyusi
wakishangiliwa na mamia ya wakazi wa Dar es salaam waliojitokeza kwa
wingi kumlaki Rais huyoanayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama
rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Filipe Jacinto Nyusi na
ujumbe wake katika mazungumzo rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe na Waziri
wa Masuala ya Ndani wa Msumbiji wakitiliana saini mkataba wa
makubaliano mbele ye marais Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais
Filipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji. PICHA NA IKULU

