Home > Untagged UKUTA WA MSIKITI WAANGUKA NA KUUA WATU SABA JIJINI NAIROBI UKUTA WA MSIKITI WAANGUKA NA KUUA WATU SABA JIJINI NAIROBI Watu wapatao saba wamekufa baada ya ukuta unaozunguka msikiti kuanguka jana usiku katika eneo la Kusini B Jijini Nairobi nchini Kenya. Ukuta huo umeanguka kwenye jengo lililojengwa karibu na ukuta katika kitongoji cha makazi duni cha Mukuru, kufuatia mvua kubwa zinazonyesha. 17:14:00