https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ATOA heshima za mwisho KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE DAR

    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mjane wa baba wa Taifa , Mama Maria Nyerere wakati alipotoa heshima za mwisho kwa mtoto wa Baba wa Taifa, marehemu John Nyerere Kushoto ni Makongoro Nyerere na Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Makonda.
    (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu John Nyerere, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika nyumbani kwa Mama Maria Nyerere Msasani, jijini Dar es Salaam leo Mei 11, 2015. Marehemu John anatarajia kuzikwa keshokutwa nyumbani kwao Butiama.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ATOA heshima za mwisho KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE DAR Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top