https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Picha za mjengo ambao ulikuwa wa J Lo, ukaingia sokoni na mteja kapatikana baada ya miaka mitano !!

    P Collins
    Mjengo ambao Staa Jennifer Lopez aliuuza mwaka 2005 kwa Dola Milioni 13.9 uliingizwa tena sokoni kwa zaidi ya miaka mitano iliyopita mtu wangu.. Mjengo huo uliopo Miami Beach, Marekani una historia yake yani, kwanza ulijengwa mwaka 1929 na hata ukiona design yake inaonesha kabisa sio jengo jipyajipya!!

    Nyumba iliwekwa sokoni mwaka 2010, mteja kapatikana 2015 ambae ni Mwanamuziki mkongwe Marekani, Phil Collins.. kauziwa kwa Dola Milioni 33 wakati J Lo kipindi anaiuza mwaka 2005 aliiuza kwa Dola Milioni 13.9.
    Pichaz zake zimenivutia mtu wangu, unaweza kuucheki hapa kwenye hizi pichaz zake 25
    IS1fo7qjclm6901000000000
    IS1z78b6emoh801000000000
    IS5azv9gxprs801000000000
    IS5uiwu2zqt3801000000000
    IS9lqj8qgtu3901000000000
    IS95aktciuwe801000000000
    ISd0l8d93z11801000000000
    ISd01pcogx0zw01000000000
    ISdg18sm1yzp801000000000-2
    IShbcwbjm25c801000000000
    IShrsvqwk131901000000000
    ISl2kjp6456c901000000000
    ISl6nkvf77ay701000000000
    ISl631vuk59ww01000000000
    ISlm3kat568n801000000000
    ISphe8upqad9801000000000
    ISpxu793p9by801000000000
    ISt8mv7d8de9901000000000
    IStc5dd1pdhtw01000000000
    IStcpwdmbfiv701000000000
    ISts5wsz9egk801000000000
    ISx3xjr9thjv801000000000
    ISxngkcwuil6801000000000
    ISxrv6r7qs6ip01000000000
    Mjengoree
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Picha za mjengo ambao ulikuwa wa J Lo, ukaingia sokoni na mteja kapatikana baada ya miaka mitano !! Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top