https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    KUNDI LA IS LAENDELEZA VITENDO VYA MAUAJI YA KIKATILI NCHINI IRAK


    Kundi lililojizolea sifa kwa ukatili la IS, limetoa picha zinazoonyesha likiwarusha watu kichwa chini kutoka juu ya ghorofa ya nne nchini Irak kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ushoga.

    Kundi hilo limekuwa likifanya mauaji ya kikatili ya aina mbalimbali ikiwemo ya kuchinja watu, kuchoma moto, kuwapiga risasi kichwani katika mji wa Raqqa nchini Syria, sasa ukatili huo wameuhamishia katika mkoa wa Fallujah nchini Irak. 
                               Mtu akishuka chini baada ya kutupwa kutoka juu ya ghorofa
                      Mmoja wa wapiganaji wa IS akimsubiria kwa chini mtu aliyetupwa 

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KUNDI LA IS LAENDELEZA VITENDO VYA MAUAJI YA KIKATILI NCHINI IRAK Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top