Mbali na Azam kushinda kombe hilo kuna wachezaji walioshinda tuzo zao binafsi baada ya kufanya vizuri kwenye mashindano hayo, wafuatao ni wachezaji walioshinda tuzo hizo.
MVP (Most Valuable Player)- Pascal Serge Wawa (Azam)
Golikipa bora-Boniface Oluoch (Gor Mahia)
Beki bora-Pascal Serge Wawa (Azam)
Mfungaji bora- Michael Olunga (Gor Mahia) amefunga magoli matano (5)
0 comments:
Post a Comment