Uongozi wa Klabu ya Australia umetangaza leo asubuhi kuwa wamekubaliana kiasi cha pesa kutoka klabu ya Man City ili kumruhusu mchezaji wao mwenye miaka 23.
Kocha mkuu wa Mariners Tony Walmsley alimsajili Caceres mwaka 2011 na kusema amefurahishwa na mchezaji huyo kupata timu kubwa kama Man City kwa ajili ya kuinua kipaji chake.
0 comments:
Post a Comment