https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Unajua maeneo 15 ya India ambako ni MARUFUKU kupiga ‘selfie’? Sababu ni hii.

     


    Najua nina watu wangu wao na selfie damdam, taarifa ikufikie kwamba kuna maeneo imebidi selfie zipigwe marufuku kwa ajili tu ya usalama wa watu.
    No-Selfie-Zones
    Sababu ya Serikali kuamua kuingia kati na kuzuia selfie ni ishu za ajali zinazosababisha vifo, kuna ajali ambazo India wanazo kwenye record zao !! Iko ishu ya ajali ya mtalii mmoja kufariki baada ya kuteleza kwenye ngazi za makumbusho ya Taj Mahal, India alipokuwa akijipiga selfie.
    ap564815081655
    Iko pia stori ya wasichana wawili walioanguka baharini kutoka kwenye ukuta wa ukingo wa bahari wakijipiga selfie, mmoja akafariki mwingine akatoka salama… Jeshi la Polisi limeona kuna kila sababu wakasogea hatua moja kwa kutangaza maeneo 15 ambayo ni hatari na ni marufuku kupiga selfie..
    Sehemu kubwa ya maeneo ambayo ni marufuku kupiga selfie kwa Mumbai India, ni maeneo ambayo yanatembelewa na ni kivutio kikubwa cha watalii wengi.
    Kingine ni kwamba kuna mpango wa kuwekwa pia mabango yaliyoandikwa ‘No Selfie Zone
    Story ya ajali ya wasichana waliotumbukia kwenye maji wakati wakijipiga selfie
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Unajua maeneo 15 ya India ambako ni MARUFUKU kupiga ‘selfie’? Sababu ni hii. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top