Mwili mmoja umepatikana baada ya jengo la ghorofa kuanguka katika Jiji la Kampala nchini Uganda.
Waokoaji wameshaokoa watu saba kutoka kwenye vifusi wakiwa hai, kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo.
Polisi akiungana na baadhi ya watu kuchungulia kwenye kifusi
Waokoaji wakiwa juu ya eneo la jengo hilo lililoanguka
Mwanamke akiangua kilio katika eneo ambalo jengo limeanguka
Waokoaji wameshaokoa watu saba kutoka kwenye vifusi wakiwa hai, kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo.
Polisi akiungana na baadhi ya watu kuchungulia kwenye kifusi
Waokoaji wakiwa juu ya eneo la jengo hilo lililoanguka
Mwanamke akiangua kilio katika eneo ambalo jengo limeanguka






0 comments:
Post a Comment