https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    WACHEZAJI 10 WA MAN UNITED WATAKAOCHEZA EURO WAKIWA KWENYE MATAIFA TOFAUTI

    Rooney-Martial
    Wachezaji wa 10 wote wa Manchester United walichaguliwa na mameneja mataifa mbalimbali ya Ulaya kuwakilisha nchi zao katika michuano ya Ulaya inayoanza leo nchini Ufaransa.
    Miongoni mwa mataifa 24 yaliyofuzu kushiriki Euro 2016, saba kati yao yatakuwa angalau na mchezaji kutoka Manchester United.
    Isipokuwa Uingereza ambao watakuwa na wachezaji watatu na Ufaransa ambao watakuwa na wachezaji wawili, nchi nyingine tano zinawakilishwa na mchezaji mmoja mmoja kutoka Manchester United.
    Kwa mujibu wa mtandao wa Sokka.com hii ndiyo ‘top ten’ ya wachezaji wa United watakaokuwa wakiyawakilisha mataifa tofauti nchini Ufaransa.
    Kundi A – Ufaransa
    Anthony Martial – Kiungo mshambuliaji

    Morgan Schneiderlin – Kiungo mlinzi

    Kundi B –England
    Wayne Rooney – Kiungo, mshambuliaji

    Chris Smalling – Mlinzi

     Marcus Rashford – Kiungo mshambuliaji

     Kundi C – Ireland ya KasikaziniPaddy McNair – Mlinzi

     Kundi C – UjerumaniBastian Schweinsteiger – Kiungo

     Kundi D – HispaniaDavid De Gea – Kipa

     Kundi E – UbelgijiMarouane Fellaini – Kiungo

     Kundi E – Italia 
    Matteo Darmian – Beki


    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WACHEZAJI 10 WA MAN UNITED WATAKAOCHEZA EURO WAKIWA KWENYE MATAIFA TOFAUTI Rating: 5 Reviewed By: Anonymous
    Scroll to Top