https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    UPINZANIA WA LIVERPOOL, CHELSEA WAUA URAFIKI WA RODGERS NA MOURINHO

    1D65FE1B00000578-2917369-Brendan_Rodgers_right_embraces_Jose_Mourinho_before_last_season_-m-6_1421706298422
    Brendan Rodgers (kulia) akimkumbatia Jose Mourinho kabla ya mechi ya ligi kuu England msimu uliopita
    Brendan Rodgers amekiri kuwepo kwa upinzani mkubwa baina ya Liverpool na Chelsea na hii inamaanisha yeye na Jose Mourinho hawawezi kuwa marafiki tena.
    Timu hizi zinakutana Anfield leo usiku katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ya kombe la Capital One kuitafuta nafasi ya kucheza fainali Wembley.
    Hata hivyo Meneja wa Chelsea, Mourinho amejitahidi kurudisha amani kwa kuwaambia mashabiki wa klabu hiyo ya London waache kuimba nyimbo za kumbeza Steven Gerrard.
    Mourinho alimsaidia Rodgers kukuza uwezo wake wa ukocha kufuatia kumpa kazi katika klabu ya Chelsea mwaka 2004 na alimshauri kuchukua kazi Anfield wakati alipowindwa na Fenway Sports Group mwaka 2012.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: UPINZANIA WA LIVERPOOL, CHELSEA WAUA URAFIKI WA RODGERS NA MOURINHO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top