Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa Kongamano la Takwimu
barani Afrika baada ya kufungua mkutano wa kwenye Hoteli ya Giraffe
Ocean View jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Ofisi
ya Takwimu ya Taifa, Dr. Albina Chuwa, kulia ni Irena
Krizman kutoka
Slovenia na wapili kulia ni Pali Lehohla kutoka Afrika ya kusini. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu).- Blogger Comments
- Facebook Comments
Item Reviewed: Pinda afungua kongamano la Takwimu
Rating: 5
Reviewed By: Unknown

