https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    TIZAMA MBUNGE NASSARI NA SALUM MWALIM WAKIWA MAKAMBAKO WALICHOKIFANYA



    Picha mbalimbali zikiwaonesha NKMZ Salum Mwalimu na Mbunge wa Arumeru Magharibi Joshua Nassari wakihutubia wananchi wa Makambako, mkoani Njombe kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana (juzi) kwenye Uwanja wa Azimio, ikiwa ni sehemu ya operesheni ya mafunzo kwa viongozi kukiandaa chama kwenda kushinda dola na kuongoza serikali.






    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TIZAMA MBUNGE NASSARI NA SALUM MWALIM WAKIWA MAKAMBAKO WALICHOKIFANYA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top