https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Tayari ninayo ratiba ya mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya September 15 na 16 …

    Baada ya kupangwa kwa makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) siku kadhaa nyuma, September 15 na 16 ni siku ambazo michezo ya hatua ya makundi ya mechi hizo zitaanza kupigwa. Kama kawaida muda wa michuano hiyo haujabadilika upo kama tulivyozoea mechi zote za September 15 na 16 zitachezwa saa 21:45 kwa saa za Afrika Mashariki.
    Hii ni ratiba ya mechi za September 15
    Kundi A
    • Paris Saint Germain Vs Malmoe FF
    • Real Madrid Vs Shaktar Donetsk
    Kundi B
    • PSV Eindhoven Vs Manchester United
    • Wolfsburg Vs CSKA Moscow
    Kundi C
    • Benfica Vs FC Astana 
    • Galatasaray Vs Atletico Madrid 
    Kundi D
    • Manchester City Vs Juventus 
    • Sevilla Vs Borussia Moenchengladbach
    Mechi za September 16
    Kundi E
    • Bayer Leverkusen Vs BATE Borisov
    • Roma Vs FC Barcelona
    Kundi F
    • Dinamo Zagreb Vs Arsenal
    • Olympiakos Vs Bayern Munich
    Kundi G
    • Chelsea Vs Maccabi Tel Aviv
    • Dynamo Kyiv Vs FC Porto
    Kundi H
    • Gent Vs Lyon
    • Valencia Vs Zenit St Petersburg
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Tayari ninayo ratiba ya mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya September 15 na 16 … Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top