https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Hii wenyewe wanaiita taxi ya kwanza inayopaa, haina dereva.. unaruka nayo pekeyako.. (+Video)

    Teknolojia inaruhusu sasahivi kukutana na mambo mapya makubwa na yenye records nyingi kwenye headlines.. kila kitu kinabadilika, na kama ni kizuri lazima kikinifikia na mimi nakusogezea pia.
    Mzigo umeletwa na jamaa wa Las Vegas Marekani, kuoneshwa na wataalam wa kutengeneza drones, ziko camera siku hizi zinaruka juu zinarekodi video, zinapiga picha poa kabisa… imekuja taxi ya juujuu, haina dereva, abiria ni mmoja tu anaingia na kuna vitu vichache tu anaweza kuvifanya safari yake ikawa salama kabisa mpaka anafika.
    EHANG II
    Hii ni screen ambayo iko ndani ya drone ambayo abiria akiingia anabonyeza kuonesha kituo ambacho anaenda.
    E Hang 184 inaweza kusafiri kwa muda wa kama dakika 23 hivi na hata ikiisha chaji inaweza kujaa full kwa saa mbili tu !!
    Video hii hapa mtu wangu, mambo yamesogea mpaka huku mtu wangu.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Hii wenyewe wanaiita taxi ya kwanza inayopaa, haina dereva.. unaruka nayo pekeyako.. (+Video) Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top